Wataalam wa maswala ya kisiasa
NI SAWA TUNATAKA MABADILIKO: JE NI YA MAGUFULI AU LOWASSA??Wagombea Urais wa CCM, Dr. John Magufuli na mwenzake wa CHADEMA Ndg Edward Lowassa wanakubaliana jambo moja kubwa: Haja ya kuwa na mabadiliko katika nchi yetu. Wagombea wote wameahidi kila mmoja...